Tuesday, 27 December 2016

JESHI LA POLISI LAZUIA ZAIDI YA MABASI 50 KUSABIRISHA ABIRIA

Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani limezuia zaidi ya mabasi 50 kusafirisha abiria kwenda Mikoani kutokana na makosa mbalimbali huku mengine yaking'olewa namba kabisa kutokana na kuwa na hitilafu nyingi na hivyo kutakiwa kurudishwa gereji kwanza kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo makubwa.

No comments:

Post a Comment